Hesabu 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi mfalme wa Edomu akakataa kuwaruhusu Waisraeli wapite katika eneo lake; kwa hiyo Waisraeli wakageuka na kumwacha.+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ Waamuzi 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipopitia nyikani, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu. Wakapitia upande wa mashariki wa nchi ya Moabu+ na kupiga kambi katika eneo la Arnoni; hawakufika kwenye mpaka wa Moabu kwa sababu Mto Arnoni ulikuwa mpaka wa Moabu.+
21 Basi mfalme wa Edomu akakataa kuwaruhusu Waisraeli wapite katika eneo lake; kwa hiyo Waisraeli wakageuka na kumwacha.+
8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
18 Walipopitia nyikani, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu. Wakapitia upande wa mashariki wa nchi ya Moabu+ na kupiga kambi katika eneo la Arnoni; hawakufika kwenye mpaka wa Moabu kwa sababu Mto Arnoni ulikuwa mpaka wa Moabu.+