Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “‘Yehova Mungu wa Israeli ndiye aliyewafukuza Waamori kutoka mbele ya watu wake Israeli,+ na sasa je, unataka kuwafukuza Waisraeli? 24 Je, humiliki nchi yoyote unayopewa na mungu wako Kemoshi?+ Basi kila mtu ambaye Yehova Mungu wetu amemfukuza kutoka mbele yetu, ndiye tutakayemfukuza.+

  • 1 Wafalme 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati huo ndipo Sulemani alipojenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi, mungu mwenye kuchukiza wa Moabu, kwenye mlima uliokuwa mbele ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.+

  • 2 Wafalme 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mahali pa juu palipokuwa mbele ya Yerusalemu upande wa kusini* wa Mlima wa Uharibifu,* mahali ambapo Sulemani mfalme wa Israeli alijenga kwa ajili ya Ashtorethi mungu wa kike mwenye kuchukiza wa Wasidoni; kwa ajili ya Kemoshi mungu mwenye kuchukiza wa Moabu; na kwa ajili ya Milkomu+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni,+ mfalme alipafanya pasifae kwa ibada.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki