Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+

      “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+

      Kutoka katika milima ya mashariki:

      ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu.

      Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+

  • Yoshua 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akaja kupigana na Israeli. Basi akamwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+

  • Nehemia 13:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki