2 Petro 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+ Yuda 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao, kwa sababu wamefuata mwenendo wa Kaini,+ wamejiingiza katika kosa la Balaamu+ ili kupata faida, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+
11 Ole wao, kwa sababu wamefuata mwenendo wa Kaini,+ wamejiingiza katika kosa la Balaamu+ ili kupata faida, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+