Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Punda huyo alipomwona malaika wa Yehova amesimama njiani akiwa ameshika upanga uliochomolewa, alijaribu kutoka njiani ili aingie shambani. Lakini Balaamu akaanza kumpiga punda huyo ili arudi njiani.

  • Hesabu 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Punda alipomwona malaika wa Yehova, akaanza kujisukumiza ukutani na kuubana mguu wa Balaamu ukutani, na Balaamu akaanza kumpiga tena.

  • Hesabu 22:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Punda alipomwona malaika wa Yehova, akalala chini Balaamu akiwa mgongoni, basi Balaamu akakasirika sana na kuendelea kumpiga punda kwa fimbo yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki