Hesabu 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+ Hesabu 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Maneno ya Balaamu mwana wa Beori,Na maneno ya mwanamume ambaye macho yake yamefunguliwa,
7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+
3 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Maneno ya Balaamu mwana wa Beori,Na maneno ya mwanamume ambaye macho yake yamefunguliwa,