Hesabu 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+ Hesabu 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Balaamu akasema maneno haya ya kishairi:+ “Inuka, Balaki, usikilize. Nisikilize, ewe mwana wa Sipori.
7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+
18 Kisha Balaamu akasema maneno haya ya kishairi:+ “Inuka, Balaki, usikilize. Nisikilize, ewe mwana wa Sipori.