Hesabu 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Balaamu akawaambia watumishi wa Balaki: “Hata Balaki akinipa nyumba yake mwenyewe iliyojaa fedha na dhahabu, siwezi kukiuka jambo lolote ambalo Yehova Mungu wangu ameniagiza nifanye, liwe jambo dogo au kubwa.+
18 Lakini Balaamu akawaambia watumishi wa Balaki: “Hata Balaki akinipa nyumba yake mwenyewe iliyojaa fedha na dhahabu, siwezi kukiuka jambo lolote ambalo Yehova Mungu wangu ameniagiza nifanye, liwe jambo dogo au kubwa.+