Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Vyetezo vya wanaume waliouawa kwa sababu ya dhambi yao vinapaswa kunyooshwa ili viwe mabamba membamba ya kufunika madhabahu,+ kwa sababu walivipeleka mbele za Yehova, navyo vikawa vitakatifu. Vinapaswa kuwa onyo kwa Waisraeli.”+

  • 1 Wakorintho 10:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+ 11 Basi mambo hayo yaliwapata ili kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu sisi+ ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki