Kutoka 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elkana, na Abiasafu.+ Hizo ndizo zilizokuwa koo za Wakora.+ Hesabu 26:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+ Zaburi 42:utangulizi Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Kwa kiongozi. Maskili* ya wana wa Kora.+
58 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni,+ ukoo wa Wahebroni,+ ukoo wa Wamali,+ ukoo wa Wamushi,+ ukoo wa Wakora.+ Kohathi alikuwa baba ya Amramu.+