Isaya 45:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sikusema nikiwa mafichoni,+ katika nchi yenye giza;Sikuuambia uzao wa* Yakobo,‘Nitafuteni tu bila sababu.’* Mimi ni Yehova, ninayesema mambo ya uadilifu na kutangaza mambo manyoofu.+
19 Sikusema nikiwa mafichoni,+ katika nchi yenye giza;Sikuuambia uzao wa* Yakobo,‘Nitafuteni tu bila sababu.’* Mimi ni Yehova, ninayesema mambo ya uadilifu na kutangaza mambo manyoofu.+