Zaburi 111:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kazi za mikono yake ni kweli na haki;+נ [Nun] Maagizo yake yote yanategemeka.+ ס [Samekh] 8 Yanategemeka* sikuzote, sasa na milele;ע [Ayin] Msingi wake ni kweli na uadilifu.+ Zaburi 119:137 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+Na hukumu zako ni za haki.+
7 Kazi za mikono yake ni kweli na haki;+נ [Nun] Maagizo yake yote yanategemeka.+ ס [Samekh] 8 Yanategemeka* sikuzote, sasa na milele;ע [Ayin] Msingi wake ni kweli na uadilifu.+