Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+

      Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+

  • Isaya 55:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kama mvua na theluji inavyomwagika kutoka mbinguni

      Nayo hairudi huko mpaka iiloweshe dunia na kuifanya izae na kuchipuka,

      Na kumpa mbegu mpandaji na mkate yule anayekula,

      11 Hivyo ndivyo neno langu linalotoka katika kinywa changu litakavyokuwa.*+

      Halitarudi kwangu bila matokeo,+

      Bali hakika litatimiza jambo lolote linalonipendeza,*+

      Na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki