Kumbukumbu la Torati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akasema, ‘Nitauficha uso wangu wasiuone;+Nitaona kitakachowapata. Kwa maana wao ni kizazi kilichopotoka,+Wana ambao hawana uaminifu.+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika. Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+ Ezekieli 39:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba watu wa nyumba ya Israeli walipelekwa uhamishoni kwa sababu ya kosa lao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu.+ Basi niliwaficha uso wangu+ na kuwatia mikononi mwa maadui wao,+ na wote wakauawa kwa upanga.
20 Kwa hiyo akasema, ‘Nitauficha uso wangu wasiuone;+Nitaona kitakachowapata. Kwa maana wao ni kizazi kilichopotoka,+Wana ambao hawana uaminifu.+
23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba watu wa nyumba ya Israeli walipelekwa uhamishoni kwa sababu ya kosa lao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu.+ Basi niliwaficha uso wangu+ na kuwatia mikononi mwa maadui wao,+ na wote wakauawa kwa upanga.