Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo akasema, ‘Nitauficha uso wangu wasiuone;+

      Nitaona kitakachowapata.

      Kwa maana wao ni kizazi kilichopotoka,+

      Wana ambao hawana uaminifu.+

  • Zaburi 104:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika.

      Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+

  • Ezekieli 39:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba watu wa nyumba ya Israeli walipelekwa uhamishoni kwa sababu ya kosa lao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu.+ Basi niliwaficha uso wangu+ na kuwatia mikononi mwa maadui wao,+ na wote wakauawa kwa upanga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki