Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 basi mimi pia nitawapinga, nami mwenyewe nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu. 25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mtu mmoja angewezaje kuwakimbiza 1,000,

      Na wawili kuwafanya 10,000 wakimbie?+

      Kama Mwamba wao hangekuwa amewauza+

      Na Yehova kuwatia mikononi mwa maadui?

  • Zaburi 106:40, 41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa hiyo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya watu wake,

      Naye akauchukia sana urithi wake.

      41 Aliwatia tena na tena mikononi mwa mataifa,+

      Ili wale waliowachukia waweze kuwatawala.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki