Kumbukumbu la Torati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akasema, ‘Acha niufiche uso wangu kutoka kwao,+Acha nione mwisho wao utakuwaje baadaye.Kwa maana wao ni kizazi chenye upotovu,+Wana ambao ndani yao hamna uaminifu.+
20 Kwa hiyo akasema, ‘Acha niufiche uso wangu kutoka kwao,+Acha nione mwisho wao utakuwaje baadaye.Kwa maana wao ni kizazi chenye upotovu,+Wana ambao ndani yao hamna uaminifu.+