1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote. Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa;+Ukuu wake hauchunguziki.*+
11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.