-
Ufunuo 10:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na juu ya dunia akainua mkono wake wa kuume kuelekea mbinguni, 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakuna kukawia tena.
-