11 Kwa maana kwa siku sita mimi, Yehova, niliumba mbingu na dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo, nami nikaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu mimi Yehova niliibariki siku ya Sabato na kuifanya kuwa takatifu.
6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ uliumba mbingu, naam, mbingu za mbingu na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyo juu yake, bahari na vyote vilivyomo. Nawe unavihifadhi vyote hai, na jeshi la mbinguni linakuinamia wewe.