Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Musa akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na ajifunge upanga wake na kupita kotekote kambini, kutoka lango mpaka lango, amuue ndugu yake, jirani yake, na rafiki yake wa karibu.’”+

  • Mambo ya Walawi 10:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe waliobaki, Eleazari na Ithamari: “Msikose kutunza nywele zenu na msirarue mavazi yenu,+ msije mkafa na kumfanya Mungu awakasirikie Waisraeli wote. Ndugu zenu wote wa nyumba ya Israeli watawaombolezea wale ambao Yehova amewaangamiza kwa moto. 7 Msitoke nje ya mlango wa hema la mkutano msije mkafa, kwa sababu Yehova amewatia mafuta.”+ Basi wakafanya kama Musa alivyosema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki