Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Utamvisha Haruni ndugu yako na wanawe mavazi hayo, nawe utawatia mafuta+ na kuwaweka rasmi*+ na kuwatakasa, nao watanitumikia wakiwa makuhani.

  • Mambo ya Walawi 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwishowe akamimina juu ya kichwa cha Haruni kiasi fulani cha mafuta hayo yanayotumiwa kutia mafuta, akamtia mafuta ili kumtakasa.+

  • Mambo ya Walawi 21:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hapaswi kumkaribia mtu yeyote aliyekufa;*+ hapaswi hata kujichafua kwa kumgusa baba yake au mama yake ambaye amekufa. 12 Hapaswi kuondoka mahali patakatifu wala kuchafua mahali patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ishara ya wakfu, yale mafuta ya Mungu wake yanayotumiwa kutia mafuta+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki