8 “Halafu walete wanawe na kuwavisha kanzu+9 na umfunge Haruni na wanawe ukumbuu viunoni na kuwavisha kofia zao; ukuhani utakuwa wao, nayo itakuwa sheria ya kudumu.+ Hivyo ndivyo utakavyowaweka rasmi Haruni na wanawe ili watumike wakiwa makuhani.*+
33 Hampaswi kutoka nje ya mlango wa hema la mkutano kwa siku saba, mpaka siku zenu za kuwekwa rasmi kuwa makuhani zitakapokwisha, kwa sababu itachukua muda wa siku saba kuwaweka rasmi kuwa makuhani.+
2 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+3 Hayo ndiyo majina ya wana wa Haruni waliotiwa mafuta ili watumikie wakiwa makuhani.+