Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Halafu walete wanawe na kuwavisha kanzu+ 9 na umfunge Haruni na wanawe ukumbuu viunoni na kuwavisha kofia zao; ukuhani utakuwa wao, nayo itakuwa sheria ya kudumu.+ Hivyo ndivyo utakavyowaweka rasmi Haruni na wanawe ili watumike wakiwa makuhani.*+

  • Mambo ya Walawi 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hampaswi kutoka nje ya mlango wa hema la mkutano kwa siku saba, mpaka siku zenu za kuwekwa rasmi kuwa makuhani zitakapokwisha, kwa sababu itachukua muda wa siku saba kuwaweka rasmi kuwa makuhani.+

  • Hesabu 3:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+ 3 Hayo ndiyo majina ya wana wa Haruni waliotiwa mafuta ili watumikie wakiwa makuhani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki