Kumbukumbu la Torati 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Yehova akatutoa Misri kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa+ na kwa matendo yanayotisha na kwa ishara na miujiza.+ Luka 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Akawauliza: “Mambo gani?” Wakamjibu: “Kuhusu Yesu Mnazareti,+ yule nabii aliyefanya miujiza na kusema maneno yenye nguvu mbele za Mungu na watu wote;+
8 Mwishowe Yehova akatutoa Misri kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa+ na kwa matendo yanayotisha na kwa ishara na miujiza.+
19 Akawauliza: “Mambo gani?” Wakamjibu: “Kuhusu Yesu Mnazareti,+ yule nabii aliyefanya miujiza na kusema maneno yenye nguvu mbele za Mungu na watu wote;+