28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
4 Kisha akaandika kwenye mabamba hayo maneno aliyoandika mwanzoni,+ zile Amri Kumi,*+ ambazo Yehova aliwaambia mlimani kutoka katika moto+ siku ya kusanyiko;*+ Yehova akanipa mabamba hayo.