Kutoka 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Mungu akasema maneno haya yote:+ Kutoka 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+ Kumbukumbu la Torati 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akawatangazia agano lake,+ alilowaamuru mshike—zile Amri Kumi.*+ Kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe.+
28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
13 Naye akawatangazia agano lake,+ alilowaamuru mshike—zile Amri Kumi.*+ Kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe.+