8 “‘Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa+ au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia.
22 Ingawa walidai wana hekima, wakawa wapumbavu 23 na kuugeuza utukufu wa Mungu asiyeweza kuharibika kuwa kitu kama sanamu ya mwanadamu anayeweza kuharibika* na ya ndege na viumbe wenye miguu minne na viumbe wanaotambaa.+