Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+ Kutoka 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Israeli, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe na kusema, ‘Nitaufanya uzao wenu uwe mwingi kama nyota za mbinguni,+ nami nitaupa uzao* wenu nchi yote hii niliyowaahidi, ili iwe miliki yao ya kudumu.’”+ Hesabu 26:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Wanaume wote Waisraeli walioandikishwa walikuwa 601,730.+ Kumbukumbu la Torati 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mababu zenu waliposhuka kwenda Misri walikuwa watu* 70,+ na sasa Yehova Mungu wenu amewafanya muwe wengi kama nyota za mbinguni.+
15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+
13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Israeli, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe na kusema, ‘Nitaufanya uzao wenu uwe mwingi kama nyota za mbinguni,+ nami nitaupa uzao* wenu nchi yote hii niliyowaahidi, ili iwe miliki yao ya kudumu.’”+
22 Mababu zenu waliposhuka kwenda Misri walikuwa watu* 70,+ na sasa Yehova Mungu wenu amewafanya muwe wengi kama nyota za mbinguni.+