Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+

  • Kutoka 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Israeli, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe na kusema, ‘Nitaufanya uzao wenu uwe mwingi kama nyota za mbinguni,+ nami nitaupa uzao* wenu nchi yote hii niliyowaahidi, ili iwe miliki yao ya kudumu.’”+

  • Hesabu 26:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Wanaume wote Waisraeli walioandikishwa walikuwa 601,730.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mababu zenu waliposhuka kwenda Misri walikuwa watu* 70,+ na sasa Yehova Mungu wenu amewafanya muwe wengi kama nyota za mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki