Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Atakapoketi kwenye kiti cha ufalme wake, ni lazima ajiandikie kwenye kitabu* nakala ya Sheria hii, kwa kutumia nakala inayowekwa na makuhani Walawi.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na siku mtakayovuka Yordani kuingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, mtapanga mawe makubwa na kuyapaka chokaa.*+ 3 Kisha mwandike juu yake maneno yote ya Sheria hii mtakapokuwa mmevuka, ili muweze kuingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nchi inayotiririka maziwa na asali, kama Yehova Mungu wa mababu zenu alivyowaahidi.+

  • Wagalatia 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Sheria imekuwa mtunzaji* wetu ikituongoza kwa Kristo,+ ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki