Matendo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+ Waroma 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kutokana na imani,+ na tufurahie amani* pamoja na Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo,+ Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayewashtaki waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+
39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+
5 Basi, kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kutokana na imani,+ na tufurahie amani* pamoja na Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo,+