Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hupaswi kamwe kuwa na miungu mingine ila mimi.*+

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;

      Simpi yeyote utukufu wangu,*

      Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

  • Zekaria 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+

  • Marko 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, Yehova* Mungu wetu ni Yehova* mmoja,

  • Marko 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+

  • 1 Wakorintho 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki