Kumbukumbu la Torati 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hupaswi kamwe kuwa na miungu mingine ila mimi.*+ Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+ Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+ Marko 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, Yehova* Mungu wetu ni Yehova* mmoja, Marko 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+ 1 Wakorintho 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.
8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+
29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, Yehova* Mungu wetu ni Yehova* mmoja,
32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+
6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.