Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sasa, enyi Waisraeli, sikilizeni masharti na sheria ambazo* ninawafundisha kushika, ili mwishi+ na kuingia kuimiliki nchi ambayo Yehova, Mungu wa mababu zenu, anawapa ninyi. Wagalatia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Sheria haitegemei imani. Badala yake, “yeyote anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
4 “Sasa, enyi Waisraeli, sikilizeni masharti na sheria ambazo* ninawafundisha kushika, ili mwishi+ na kuingia kuimiliki nchi ambayo Yehova, Mungu wa mababu zenu, anawapa ninyi.
12 Sasa Sheria haitegemei imani. Badala yake, “yeyote anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+