Kutoka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hakuna mwanamke katika nchi yenu ambaye mimba yake itaharibika wala atakayekuwa tasa,+ nami nitawapa maisha marefu.* Kumbukumbu la Torati 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Yehova atawafanya muwe na watoto wengi sana na mifugo mingi sana na mazao mengi sana+ katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu kwamba atawapa ninyi.+ Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Watoto* ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+
26 Hakuna mwanamke katika nchi yenu ambaye mimba yake itaharibika wala atakayekuwa tasa,+ nami nitawapa maisha marefu.*
11 “Yehova atawafanya muwe na watoto wengi sana na mifugo mingi sana na mazao mengi sana+ katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu kwamba atawapa ninyi.+