Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kisha tukaondoka Horebu na kupitia ile nyika yote kubwa na yenye kutisha+ mliyoona njiani kuelekea kwenye eneo lenye milima la Waamori,+ kama Yehova Mungu wetu alivyotuamuru, na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+

  • Yeremia 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi,

      Yule aliyetutoa nchini Misri,+

      Aliyetuongoza kupitia nyikani,

      Kupitia nchi yenye majangwa+ na mashimo,

      Kupitia nchi yenye ukame+ na kivuli kizito,

      Kupitia nchi ambayo hakuna mtu anayesafiri humo

      Na ambamo hakuna mwanadamu anayeishi?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki