Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Waisraeli wakaanza kuondoka katika nyika ya Sinai kulingana na utaratibu uliowekwa wa kuondoka,+ na wingu hilo likasimama katika nyika ya Parani.+

  • Kumbukumbu la Torati 8:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ 15 aliyewafanya mtembee katika nyika kubwa na yenye kutisha,+ iliyo na nyoka wenye sumu na nge na ardhi iliyokauka isiyo na maji. Alifanya maji yatiririke kutoka katika mwamba mgumu+

  • Yeremia 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi,

      Yule aliyetutoa nchini Misri,+

      Aliyetuongoza kupitia nyikani,

      Kupitia nchi yenye majangwa+ na mashimo,

      Kupitia nchi yenye ukame+ na kivuli kizito,

      Kupitia nchi ambayo hakuna mtu anayesafiri humo

      Na ambamo hakuna mwanadamu anayeishi?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki