Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Pia, mlimkasirisha Yehova kule Tabera,+ kule Masa,+ na Kibroth-hataava.+ Zaburi 78:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani+Na kumtia uchungu jangwani!+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+