Kutoka 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo Musa akaingia ndani ya lile wingu na kupanda mlimani.+ Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+ Kutoka 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
18 Ndipo Musa akaingia ndani ya lile wingu na kupanda mlimani.+ Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+
28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+