9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.”
27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?