8 Nitashuka huko ili niwaokoe kutoka mikononi mwa Wamisri+ na kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo na kuwapeleka katika nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ eneo la Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
6 Siku hiyo niliapa kwamba nitawatoa nchini Misri na kuwapeleka katika nchi niliyokuwa nimeichunguza* kwa ajili yao, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Nchi hiyo ilikuwa nzuri sana kuliko* nchi zote.