Ezekieli 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:6 w12 10/15 24-25 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:6 Mnara wa Mlinzi,10/15/2012, kur. 24-25
6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+