Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Makabila yafuatayo yatasimama kwenye Mlima Gerizimu+ ili kuwabariki watu mtakapokuwa mmevuka Yordani: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu, na Benjamini. 13 Na makabila yafuatayo yatasimama kwenye Mlima Ebali+ ili kutangaza laana: Rubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani, na Naftali.

  • Yoshua 8:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Waisraeli wote pamoja na wazee wao, viongozi wao, na waamuzi wao, walikuwa wamesimama pande mbili za hilo sanduku la agano la Yehova mbele ya makuhani Walawi waliokuwa wamelibeba. Wakaaji wageni na pia wenyeji walikuwepo.+ Nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu, na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali+ (kama Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameagiza mwanzoni),+ ili kuwabariki Waisraeli. 34 Kisha Yoshua akasoma kwa sauti maneno yote ya Sheria,+ baraka+ na laana,+ kulingana na yote ambayo yameandikwa katika kitabu cha Sheria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki