24 Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu+ alikuwa na roho tofauti naye aliendelea kunifuata kwa moyo wote, kwa hakika nitamwingiza katika nchi aliyoenda kuipeleleza, na wazao wake wataimiliki.+
9 Siku hiyo, Musa aliapa hivi: ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga itakuwa urithi wako na wa wana wako milele, kwa sababu umemfuata Yehova Mungu wangu kwa moyo wote.’+