Kutoka 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana malaika wangu atawatangulia na kuwapeleka katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi, na Wayebusi, nami nitawaangamiza.+ Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa mkono wako uliyafukuza mataifa+Ukawafanya mababu zetu waishi huko.+ Uliyapondaponda mataifa na kuyafukuza.+ Zaburi 78:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+
23 Kwa maana malaika wangu atawatangulia na kuwapeleka katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi, na Wayebusi, nami nitawaangamiza.+
2 Kwa mkono wako uliyafukuza mataifa+Ukawafanya mababu zetu waishi huko.+ Uliyapondaponda mataifa na kuyafukuza.+
55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+