Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha Yehova akawaambia Musa na Haruni, “Hii ndiyo sheria ya Pasaka: Hakuna mgeni anayepaswa kuila.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Msimle mnyama yeyote aliyepatikana amekufa.+ Mnaweza kumpa mkaaji mgeni aliye ndani ya majiji yenu,* naye anaweza kumla, au mnyama huyo anaweza kuuzwa kwa mgeni. Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.

      “Msimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Unaweza kumtoza riba mgeni,+ lakini usimtoze riba ndugu yako,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zote utakazofanya katika nchi mnayoenda kumiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki