-
Hesabu 20:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Hata hivyo, mfalme wa Edomu akamwambia, “Usipite katika eneo letu. Ukipita, nitatoka na kukushambulia kwa upanga.” 19 Basi Waisraeli wakamwambia, “Tutafuata barabara kuu, na ikiwa sisi na mifugo yetu tutakunywa maji yako, tutalipa.+ Sisi tunataka tu kupita kwa miguu, hatutaki kitu kingine chochote.”+
-