26 Lakini ni lazima ninyi mzishike amri zangu na sheria zangu,*+ msifanye jambo lolote kati ya mambo hayo yenye kuchukiza, awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu.+
30 jihadharini msinaswe baada ya mataifa hayo kuangamizwa kutoka mbele yenu. Msiulize hivi kuhusu miungu yao: ‘Mataifa haya yaliabuduje miungu yake? Mimi pia nitafanya vivyo hivyo.’+