Kutoka 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Usieneze habari za uwongo.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kutoa ushahidi utakaowadhuru wengine.+ 1 Wafalme 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo watu wawili miongoni mwa watu wasiofaa kitu wakaja na kuketi mbele yake, nao wakaanza kutoa ushahidi dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemtukana Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje ya jiji, wakamuua kwa kumpiga mawe.+ Marko 14:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Kwa kweli, wengi walikuwa wakitoa ushahidi wa uwongo kumhusu,+ lakini ushahidi wao haukupatana.
23 “Usieneze habari za uwongo.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kutoa ushahidi utakaowadhuru wengine.+
13 Ndipo watu wawili miongoni mwa watu wasiofaa kitu wakaja na kuketi mbele yake, nao wakaanza kutoa ushahidi dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemtukana Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje ya jiji, wakamuua kwa kumpiga mawe.+