Mambo ya Walawi 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini hampaswi kumchinja ng’ombe dume au kondoo pamoja na watoto wake siku ileile.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake zinaonekana katika kazi zake zote. Methali 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu huwatunza wanyama anaowafuga,*+Lakini hata rehema ya waovu ni ukatili. Mathayo 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Shore wawili huuzwa kwa sarafu ya thamani ndogo,* sivyo? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+
29 Shore wawili huuzwa kwa sarafu ya thamani ndogo,* sivyo? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+