Kumbukumbu la Torati 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ikiwa mtu mwovu anastahili kupigwa viboko,+ mwamuzi atamwagiza alale chini kifudifudi, na mtu huyo atapigwa viboko mbele yake. Idadi ya viboko inapaswa kulingana na uovu aliotenda. Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+ Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu inawangojea wadhihaki,+Na mgongo wa wapumbavu unangojea mapigo.+
2 Ikiwa mtu mwovu anastahili kupigwa viboko,+ mwamuzi atamwagiza alale chini kifudifudi, na mtu huyo atapigwa viboko mbele yake. Idadi ya viboko inapaswa kulingana na uovu aliotenda.
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+