Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+ Methali 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Michubuko na majeraha huondolea mbali* uovu,+Na mapigo husafisha utu wa ndani kabisa wa mtu. Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi, lijamu ni ya punda,+Na fimbo ni ya mgongo wa watu wapumbavu.+ Luka 12:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Lakini yule ambaye hakuelewa na hivyo akafanya mambo yanayostahili adhabu atapigwa kidogo. Kwa kweli, kila mtu ambaye alipewa mengi atadaiwa mengi, na yule aliyewekwa kusimamia mengi, atadaiwa mengi kuliko ilivyo kawaida.+ Waebrania 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+
48 Lakini yule ambaye hakuelewa na hivyo akafanya mambo yanayostahili adhabu atapigwa kidogo. Kwa kweli, kila mtu ambaye alipewa mengi atadaiwa mengi, na yule aliyewekwa kusimamia mengi, atadaiwa mengi kuliko ilivyo kawaida.+
2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+