Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Usifanye ngono na mke wa baba yako.+ Utamwaibisha baba yako.*

  • Mambo ya Walawi 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwanamume anayefanya ngono na mke wa baba yake amemwaibisha baba yake.*+ Ni lazima wote wawili wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.*

  • Kumbukumbu la Torati 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mke wa baba yake, kwa sababu amemwaibisha baba yake.’*+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

  • 1 Wakorintho 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati*+ miongoni mwenu, tena uasherati* ambao haujatokea hata miongoni mwa mataifa—mwanamume kuishi* na mke wa baba yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki